2 Kwa ajili ya Misri,+ kuhusu jeshi la Farao Neko mfalme wa Misri,+ aliyekuwa kando ya mto Efrati kule Karkemishi,+ ambaye Nebukadreza mfalme wa Babiloni alimshinda katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda:
31 “ ‘Hao ndio atakaowaona Farao, naye atafarijiwa juu ya umati wake wote.+ Farao na jeshi lake lote watakuwa watu waliouawa kwa upanga,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.