Ezekieli 32:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “‘Farao atawaona hao wote, naye atafarijiwa kwa sababu ya mambo yote yaliyoupata umati wake;+ Farao na jeshi lake lote watauawa kwa upanga,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
31 “‘Farao atawaona hao wote, naye atafarijiwa kwa sababu ya mambo yote yaliyoupata umati wake;+ Farao na jeshi lake lote watauawa kwa upanga,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.