29 Katika siku zake Farao Neko+ mfalme wa Misri alipanda kuja kwa mfalme wa Ashuru kando ya mto Efrati,+ na Mfalme Yosia akaenda kukutana naye;+ lakini akamuua+ kule Megido+ mara tu alipomwona.
20 Baada ya hayo yote Yosia alipokuwa ameitayarisha nyumba, Neko+ mfalme wa Misri+ akapanda kuja kupigana kule Karkemishi+ kando ya Efrati. Ndipo Yosia+ akatoka kwenda kupambana naye.+