16 Katika siku hiyo Misri itakuwa kama wanawake, nayo hakika itatetemeka+ na kuingiwa na hofu kwa sababu ya kutikiswa kwa mkono wa Yehova wa majeshi ambao anautikisa juu yake.+
12 Nitaufanya umati wako uanguke kwa panga za wenye nguvu, watu wa mataifa wenye kuonea, hao wote;+ nao kwa kweli wataipora fahari ya Misri, na umati wake wote lazima uangamizwe.+