Ezekieli 30:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yeye na watu wake pamoja naye, watu wa mataifa wenye kuonea,+ wanaletwa ndani ili kuiharibu nchi. Nao watachomoa panga zao juu ya Misri na kuijaza nchi kwa waliouawa.+ Habakuki 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana, tazama, ninawasimamisha Wakaldayo,+ taifa lenye uchungu na lenye haraka, linaloenda kote duniani ili kumiliki makao yasiyo yake.+
11 Yeye na watu wake pamoja naye, watu wa mataifa wenye kuonea,+ wanaletwa ndani ili kuiharibu nchi. Nao watachomoa panga zao juu ya Misri na kuijaza nchi kwa waliouawa.+
6 Kwa maana, tazama, ninawasimamisha Wakaldayo,+ taifa lenye uchungu na lenye haraka, linaloenda kote duniani ili kumiliki makao yasiyo yake.+