Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 “Yehova atainua juu yako taifa la mbali, kutoka mwisho wa dunia,+ kama vile tai anavyorukia windo,+ taifa ambalo lugha yake hutaielewa,+

  • Yeremia 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Tazama, ninaleta juu yenu taifa kutoka mbali,+ enyi nyumba ya Israeli,” asema Yehova. “Ni taifa linalodumu. Ni taifa la zamani za kale,+ taifa ambalo lugha yake hamwijui, nanyi hamwezi kusikia na kuelewa yale wanayosema.

  • Yeremia 6:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Yehova amesema hivi: “Tazama! Kikundi cha watu kinakuja kutoka nchi ya kaskazini, na kuna taifa kubwa litakaloamshwa kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+

  • Ezekieli 23:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 wana wa Babiloni+ na Wakaldayo+ wote, Pekodi+ na Shoa na Koa, wana wote wa Ashuru pamoja nao, vijana wenye kupendeza, magavana na watawala-wasaidizi wote, mashujaa wa vita na walioitwa, wote wakiwa wamepanda farasi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki