15 “Tazama, ninaleta juu yenu taifa kutoka mbali,+ enyi nyumba ya Israeli,” asema Yehova. “Ni taifa linalodumu. Ni taifa la zamani za kale,+ taifa ambalo lugha yake hamwijui, nanyi hamwezi kusikia na kuelewa yale wanayosema.
22 Yehova amesema hivi: “Tazama! Kikundi cha watu kinakuja kutoka nchi ya kaskazini, na kuna taifa kubwa litakaloamshwa kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+
23 wana wa Babiloni+ na Wakaldayo+ wote, Pekodi+ na Shoa na Koa, wana wote wa Ashuru pamoja nao, vijana wenye kupendeza, magavana na watawala-wasaidizi wote, mashujaa wa vita na walioitwa, wote wakiwa wamepanda farasi.