14 Baada ya hapo Isaya nabii akaingia kwa Mfalme Hezekia na kumwambia:+ “Watu hawa walisema nini nao walitoka wapi wakaja kwako?”+ Kwa hiyo Hezekia akasema: “Walitoka katika nchi ya mbali, kutoka Babiloni.”
3 Baada ya hapo Isaya nabii akaingia kwa Mfalme Hezekia na kumwambia:+ “Watu hawa walisema nini, nao walitoka wapi wakaja kwako?” Kwa hiyo Hezekia akasema: “Walitoka katika nchi ya mbali kuja kwangu, kutoka Babiloni.”+
19 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, jipangie njia mbili ili upanga wa mfalme wa Babiloni uingie.+ Zote mbili zinapaswa kutoka katika nchi moja, na uchonge mkono wa ishara;+ uuchonge penye kichwa cha njia ya kwenda jijini.