Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 20:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Baada ya hapo Isaya nabii akaingia kwa Mfalme Hezekia na kumwambia:+ “Watu hawa walisema nini nao walitoka wapi wakaja kwako?”+ Kwa hiyo Hezekia akasema: “Walitoka katika nchi ya mbali, kutoka Babiloni.”

  • Isaya 39:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Baada ya hapo Isaya nabii akaingia kwa Mfalme Hezekia na kumwambia:+ “Watu hawa walisema nini, nao walitoka wapi wakaja kwako?” Kwa hiyo Hezekia akasema: “Walitoka katika nchi ya mbali kuja kwangu, kutoka Babiloni.”+

  • Ezekieli 21:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, jipangie njia mbili ili upanga wa mfalme wa Babiloni uingie.+ Zote mbili zinapaswa kutoka katika nchi moja, na uchonge mkono wa ishara;+ uuchonge penye kichwa cha njia ya kwenda jijini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki