Ezekieli 21:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Nawe, mwana wa binadamu, chora njia mbili ambazo upanga wa mfalme wa Babiloni utapitia. Zote mbili zitaanzia nchi ileile, na ishara iwekwe* mahali ambapo barabara inatengana ili kuingia katika yale majiji mawili.
19 “Nawe, mwana wa binadamu, chora njia mbili ambazo upanga wa mfalme wa Babiloni utapitia. Zote mbili zitaanzia nchi ileile, na ishara iwekwe* mahali ambapo barabara inatengana ili kuingia katika yale majiji mawili.