Ezekieli 21:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, jipangie njia mbili ili upanga wa mfalme wa Babiloni uingie.+ Zote mbili zinapaswa kutoka katika nchi moja, na uchonge mkono wa ishara;+ uuchonge penye kichwa cha njia ya kwenda jijini.
19 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, jipangie njia mbili ili upanga wa mfalme wa Babiloni uingie.+ Zote mbili zinapaswa kutoka katika nchi moja, na uchonge mkono wa ishara;+ uuchonge penye kichwa cha njia ya kwenda jijini.