Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na Yehova akaanza kuleta juu yake vikundi vya waporaji vya Wakaldayo+ na vikundi vya waporaji vya Wasiria na vikundi vya waporaji vya Wamoabu+ na vikundi vya waporaji vya wana wa Amoni, naye akaendelea kuwaleta juu ya Yuda ili kuiangamiza, kulingana na neno la Yehova+ alilokuwa amesema kupitia watumishi wake manabii.

  • Isaya 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Tazama! Nchi ya Wakaldayo.+ Hiki ndicho kikundi cha watu—Ashuru+ hakujionyesha kuwa hicho⁠—​walimweka awe msingi kwa ajili ya wakaaji wa jangwani.+ Wamesimamisha minara yao ya kuzingira;+ wameivua minara yake ya makao;+ mtu amemweka kuwa bomoko linaloharibika.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki