Ezekieli 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nao hakika watateka nyara mali+ zako na kupora mali zako za mauzo,+ na kubomoa kuta zako, nazo nyumba zako zenye kutamanika watazibomoa. Nao wataweka mawe yako na mbao zako na mavumbi yako katikati ya maji.’
12 Nao hakika watateka nyara mali+ zako na kupora mali zako za mauzo,+ na kubomoa kuta zako, nazo nyumba zako zenye kutamanika watazibomoa. Nao wataweka mawe yako na mbao zako na mavumbi yako katikati ya maji.’