33 Maghala+ yako yalipotoka katika bahari kuu,+ uliwashibisha watu wengi.+ Kwa wingi wa vitu vyako vyenye thamani na vitu vyako vya biashara uliwatajirisha wafalme wa dunia.+
17 Uwape maagizo wale walio matajiri+ katika mfumo wa mambo wa sasa wasitake makuu,+ na waweke tumaini lao, si katika utajiri usio hakika,+ bali katika Mungu, ambaye hutupa sisi vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie;+