3 Kwa kuwa mataifa yote yameanguka yakiwa majeruhi kwa sababu ya divai ya hasira ya uasherati wake,+ na wafalme wa dunia walifanya uasherati+ naye, na wanabiashara+ wa dunia wanaosafiri walikuwa matajiri kutokana na nguvu za anasa yake isiyo na aibu.”+