Methali 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Maisha ya anasa hayamfai yeyote aliye mjinga.+ Sembuse mtumishi kuwatawala wakuu!+ Isaya 47:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Shuka uje uketi mavumbini,+ Ee binti ya Babiloni+ uliye bikira. Keti chini mahali ambapo hakuna kiti cha ufalme,+ Ee binti ya Wakaldayo.+ Kwa kuwa hutaona tena kwamba watu wanakuita wewe mwororo na aliye laini.+
47 Shuka uje uketi mavumbini,+ Ee binti ya Babiloni+ uliye bikira. Keti chini mahali ambapo hakuna kiti cha ufalme,+ Ee binti ya Wakaldayo.+ Kwa kuwa hutaona tena kwamba watu wanakuita wewe mwororo na aliye laini.+