Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 3:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa hiyo Yoabu akaingia kwa mfalme na kusema: “Umefanya nini?+ Tazama! Abneri amekuja kwako. Kwa nini umemwacha aende zake, akafanikiwa kwenda zake?

  • 2 Samweli 3:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nami leo niko dhaifu ingawa nimetiwa mafuta+ niwe mfalme, na watu hawa, wana wa Seruya,+ ni wakali mno kwangu.+ Yehova na amlipe mwenye kufanya mabaya kulingana na ubaya wake mwenyewe.”+

  • Mhubiri 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nimeona watumishi juu ya farasi lakini wakuu wakitembea kwa miguu juu ya nchi kama watumishi tu.+

  • Isaya 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na watu kwa kweli wataoneana, kila mmoja na mwenzake.+ Watashambulia, mvulana juu ya mwanamume mzee,+ na mwenye kupuuzwa juu ya mtu aliye wa kuheshimiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki