24 Kwa hiyo Yoabu akaingia kwa mfalme na kusema: “Umefanya nini?+ Tazama! Abneri amekuja kwako. Kwa nini umemwacha aende zake, akafanikiwa kwenda zake?
39 Nami leo niko dhaifu ingawa nimetiwa mafuta+ niwe mfalme, na watu hawa, wana wa Seruya,+ ni wakali mno kwangu.+ Yehova na amlipe mwenye kufanya mabaya kulingana na ubaya wake mwenyewe.”+
5 Na watu kwa kweli wataoneana, kila mmoja na mwenzake.+ Watashambulia, mvulana juu ya mwanamume mzee,+ na mwenye kupuuzwa juu ya mtu aliye wa kuheshimiwa.+