Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “‘Unapaswa kusimama mbele ya mtu mwenye mvi,+ nawe umwonyeshe ufikirio mtu mzee,+ nawe umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova.

  • 2 Samweli 16:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Mfalme Daudi akaenda mpaka Bahurimu,+ na tazama! palikuwa na mtu anatoka huko, wa familia ya nyumba ya Sauli, na jina lake lilikuwa Shimei,+ mwana wa Gera, akiwa anatoka na kulaani huku akiwa anatoka.+

  • Methali 16:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kichwa chenye mvi ni taji la uzuri+ kinapopatikana katika njia ya uadilifu.+

  • Mhubiri 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nimeona watumishi juu ya farasi lakini wakuu wakitembea kwa miguu juu ya nchi kama watumishi tu.+

  • Marko 14:65
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 65 Na wengine wakaanza kumtemea mate+ na kuufunika uso wake wote na kumpiga ngumi na kumwambia: “Toa unabii!” Na, wakimpiga makofi usoni, watumishi wa mahakama wakamchukua.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki