Nehemia 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nami nikaendelea kusema: “Jambo hili mnalofanya si zuri.+ Je, hampaswi kutembea kwa kumwogopa+ Mungu+ kwa sababu ya shutuma+ za mataifa, adui zetu?+ Ayubu 28:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Naye akamwambia mwanadamu,‘Tazama! Kumwogopa Yehova—hiyo ndiyo hekima,+Na kuacha ubaya ni uelewaji.’”+ Methali 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumwogopa Yehova ndio mwanzo wa ujuzi.+ Wapumbavu wamedharau hekima na nidhamu.+ Methali 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+ 1 Petro 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Waheshimuni watu wa namna zote,+ upendeni ushirika mzima wa akina ndugu,+ mwogopeni Mungu,+ mheshimuni mfalme.+
9 Nami nikaendelea kusema: “Jambo hili mnalofanya si zuri.+ Je, hampaswi kutembea kwa kumwogopa+ Mungu+ kwa sababu ya shutuma+ za mataifa, adui zetu?+
28 Naye akamwambia mwanadamu,‘Tazama! Kumwogopa Yehova—hiyo ndiyo hekima,+Na kuacha ubaya ni uelewaji.’”+
13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+
17 Waheshimuni watu wa namna zote,+ upendeni ushirika mzima wa akina ndugu,+ mwogopeni Mungu,+ mheshimuni mfalme.+