Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na kuhusu wale magavana waliokuwa kabla yangu, walikuwa wamewalemea watu, nao walikuwa wakichukua kutoka kwao kila siku shekeli 40 za fedha kwa ajili ya mkate na divai. Pia, watumishi wao waliwaonea watu.+ Bali mimi sikufanya hivyo+ kwa sababu ya kumwogopa Mungu.+

  • Zaburi 111:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+

      ש [Sin]

      Wale wote wanaoyatenda maagizo yake wana ufahamu mwema.+

      ת [Taw]

      Sifa yake inasimama milele.+

  • Methali 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+

  • 2 Wakorintho 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa tuna ahadi hizi,+ acheni tujisafishe+ wenyewe kila unajisi wa mwili na roho,+ tukiukamilisha utakatifu katika kumwogopa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki