Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nami nikaendelea kusema: “Jambo hili mnalofanya si zuri.+ Je, hampaswi kutembea kwa kumwogopa+ Mungu+ kwa sababu ya shutuma+ za mataifa, adui zetu?+

  • Zaburi 112:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 112 Msifuni Yah!+

      א [ʼAʹleph]  

      Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+

      ב [Behth]

      Ambaye amependezwa+ sana na amri zake.+

  • Zaburi 147:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova anawafurahia wale wanaomwogopa,+

      Wale wanaozingojea fadhili zake zenye upendo.+

  • Methali 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kosa hufanyiwa upatanisho kwa fadhili zenye upendo na ukweli,+ na mtu huepuka uovu kwa kumwogopa Yehova.+

  • Mhubiri 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki