Nehemia 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nami nikaendelea kusema: “Jambo hili mnalofanya si zuri.+ Je, hampaswi kutembea kwa kumwogopa+ Mungu+ kwa sababu ya shutuma+ za mataifa, adui zetu?+ Zaburi 112:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 112 Msifuni Yah!+ א [ʼAʹleph] Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+ ב [Behth]Ambaye amependezwa+ sana na amri zake.+ Zaburi 147:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova anawafurahia wale wanaomwogopa,+Wale wanaozingojea fadhili zake zenye upendo.+ Methali 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kosa hufanyiwa upatanisho kwa fadhili zenye upendo na ukweli,+ na mtu huepuka uovu kwa kumwogopa Yehova.+ Mhubiri 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.
9 Nami nikaendelea kusema: “Jambo hili mnalofanya si zuri.+ Je, hampaswi kutembea kwa kumwogopa+ Mungu+ kwa sababu ya shutuma+ za mataifa, adui zetu?+
112 Msifuni Yah!+ א [ʼAʹleph] Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+ ב [Behth]Ambaye amependezwa+ sana na amri zake.+
6 Kosa hufanyiwa upatanisho kwa fadhili zenye upendo na ukweli,+ na mtu huepuka uovu kwa kumwogopa Yehova.+
13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.