1 Samweli 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hapana,+ wanangu, kwa sababu habari ninazosikia si nzuri, ambazo watu wa Yehova wanaeneza.+ Isaya 58:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Je, si kumgawia mwenye njaa mkate wako,+ na kwamba uwaingize nyumbani kwako watu wanaoteseka, wasio na makao?+ Kwamba, ukimwona mtu aliye uchi, umfunike,+ na kwamba usijifiche kutoka kwa watu wenye damu moja nawe?+
7 Je, si kumgawia mwenye njaa mkate wako,+ na kwamba uwaingize nyumbani kwako watu wanaoteseka, wasio na makao?+ Kwamba, ukimwona mtu aliye uchi, umfunike,+ na kwamba usijifiche kutoka kwa watu wenye damu moja nawe?+