-
Malaki 1:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 “ ‘Mwana humheshimu baba;+ na mtumishi humheshimu bwana-mkuu wake.+ Basi ikiwa mimi ni baba,+ iko wapi heshima yangu?+ Na ikiwa mimi ni Bwana-Mkuu, uko wapi woga+ kwa ajili yangu?’ Yehova wa majeshi amewaambia ninyi, enyi makuhani mnaolidharau jina langu.+
“ ‘Nanyi mmesema: “Tumelidharau jina lako kwa njia gani?” ’
-