Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “‘Unapaswa kusimama mbele ya mtu mwenye mvi,+ nawe umwonyeshe ufikirio mtu mzee,+ nawe umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova.

  • Waroma 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Katika upendo wa kindugu+ iweni na upendo mwororo kwa mtu na mwenzake. Katika kuonyeshana heshima+ iweni wa kwanza.

  • Waroma 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wapeni wote haki zao, yeye anayetaka kodi, kodi;+ yeye anayetaka ushuru, ushuru; yeye anayetaka woga, woga+ huo; yeye anayetaka heshima, heshima+ hiyo.

  • Wagalatia 3:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Hakuna Myahudi wala Mgiriki,+ hakuna mtumwa wala mtu huru,+ hakuna mwanamume wala mwanamke;+ kwa maana ninyi nyote ni mtu mmoja katika muungano na Kristo Yesu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki