2 Samweli 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo Shimei+ mwana wa Gera,+ Mbenyamini, aliyetoka Bahurimu,+ akafanya haraka, akashuka pamoja na watu wa Yuda ili kumpokea Mfalme Daudi. 1 Wafalme 2:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Naye mfalme akaendelea kumwambia Shimei: “Wewe mwenyewe unajua vema mabaya yote ambayo moyo wako unajua vema kwamba ulimtendea Daudi baba yangu;+ na Yehova hakika atarudisha mabaya yako juu ya kichwa chako mwenyewe.+
16 Ndipo Shimei+ mwana wa Gera,+ Mbenyamini, aliyetoka Bahurimu,+ akafanya haraka, akashuka pamoja na watu wa Yuda ili kumpokea Mfalme Daudi.
44 Naye mfalme akaendelea kumwambia Shimei: “Wewe mwenyewe unajua vema mabaya yote ambayo moyo wako unajua vema kwamba ulimtendea Daudi baba yangu;+ na Yehova hakika atarudisha mabaya yako juu ya kichwa chako mwenyewe.+