20 Nafsi inayotenda dhambi—hiyo yenyewe itakufa.+ Mwana hatakuwa na hatia yoyote kwa sababu ya kosa la baba, na baba hatakuwa na hatia yoyote kwa sababu ya kosa la mwana.+ Uadilifu wa mwadilifu utakuwa juu yake mwenyewe,+ nao uovu wa mwovu utakuwa juu yake mwenyewe.+