Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 2:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Na itatukia kwamba siku utakapotoka na kuvuka bonde la mto la Kidroni,+ ujue bila shaka kwamba utakufa hakika.+ Hatia ya damu kwa ajili yako itakuwa juu ya kichwa chako mwenyewe.”+

  • Zaburi 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Taabu yake itarudi juu ya kichwa chake mwenyewe,+

      Na jeuri yake mwenyewe itashuka juu ya utosi wa kichwa chake.+

  • Methali 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Makosa yake mwenyewe yatamkamata mwovu,+ naye atashikwa katika kamba za dhambi yake mwenyewe.+

  • Ezekieli 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nafsi inayotenda dhambi—hiyo yenyewe itakufa.+ Mwana hatakuwa na hatia yoyote kwa sababu ya kosa la baba, na baba hatakuwa na hatia yoyote kwa sababu ya kosa la mwana.+ Uadilifu wa mwadilifu utakuwa juu yake mwenyewe,+ nao uovu wa mwovu utakuwa juu yake mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki