Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 2:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na Yehova atarudisha damu yake juu ya kichwa chake mwenyewe,+ kwa sababu aliwashambulia watu wawili walio waadilifu na bora kuliko yeye mwenyewe,+ naye akawaua kwa upanga, wakati baba yangu Daudi hakuwa amejua habari hizo,+ yaani, Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi la Israeli+ na Amasa+ mwana wa Yetheri mkuu wa jeshi la Yuda.+

  • Esta 9:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini mfalme alisema kwa barua wakati Esta alipoingia mbele yake:+ “Hila+ mbaya ambayo amepanga juu ya Wayahudi na irudi juu ya kichwa chake mwenyewe”;+ nao wakamtundika pamoja na wanawe juu ya mti.+

  • Wagalatia 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki