32 Yehova atamlipiza kwa sababu ya damu aliyomwaga, kwa sababu bila Daudi baba yangu kujua, aliwapiga na kuwaua kwa upanga wanaume wawili walio waadilifu na bora kuliko yeye, yaani, Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi la Israeli,+ na Amasa+ mwana wa Yetheri, mkuu wa jeshi la Yuda.+