Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Sasa akasema: “Ikiwa inaonekana vema kwa mfalme, na ikiwa nimepata kibali+ mbele yake na jambo hili linafaa mbele ya mfalme nami ni mwema machoni pake, na iandikwe kwamba zile barua zifutwe,+ ule mpango wa hila wa Hamani mwana wa Hamedatha Mwagagi,+ ambazo aliandika kuwaangamiza Wayahudi+ walio katika wilaya zote za utawala+ wa mfalme.

  • Esta 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Naye akaandika kwa jina la Mfalme+ Ahasuero na kutia muhuri+ kwa pete ya mfalme+ na kupeleka barua kwa mkono wa wajumbe waliopanda farasi+ wenye kusafirisha barua wanaotumiwa katika utumishi wa kifalme, wana-farasi wenye mbio,

  • Esta 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo Esta akasema: “Ikiwa kwa mfalme inaonekana vema,+ Wayahudi walio katika Shushani na wapewe ruhusa kesho pia kufanya kulingana na sheria ya leo;+ na hao wana kumi wa Hamani watundikwe juu ya mti.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki