-
Esta 8:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Sasa akasema: “Ikiwa inaonekana vema kwa mfalme, na ikiwa nimepata kibali+ mbele yake na jambo hili linafaa mbele ya mfalme nami ni mwema machoni pake, na iandikwe kwamba zile barua zifutwe,+ ule mpango wa hila wa Hamani mwana wa Hamedatha Mwagagi,+ ambazo aliandika kuwaangamiza Wayahudi+ walio katika wilaya zote za utawala+ wa mfalme.
-