5 Esta akasema: “Ukipenda Ee mfalme na ikiwa nimepata kibali chako, na ikiwa ni jambo jema kwako mfalme, nawe umependezwa nami, acha agizo liandikwe la kufuta barua za njama ya Hamani+ mwana wa Hamedatha Mwagagi,+ alizoandika ili kuwaangamiza Wayahudi katika mikoa yote ya mfalme.