19 Yehova Mungu wenu atakapokuwa amewapumzisha kutokana na maadui wenu wote wanaowazunguka katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa kuwa urithi ili mwimiliki,+ mnapaswa kuwaangamiza kabisa Waamaleki ili wasikumbukwe tena chini ya mbingu.+ Msisahau jambo hilo.
33 Hata hivyo, Samweli akasema: “Kama upanga wako ulivyofanya wanawake wafiwe na watoto, ndivyo mama yako atakavyofiwa zaidi miongoni mwa wanawake.” Papo hapo Samweli akamkatakata Agagi vipandevipande mbele za Yehova huko Gilgali.+