20 Hata hivyo, Sauli akamwambia Samweli: “Lakini nimeitii sauti ya Yehova! Nimefanya kazi ambayo Yehova alinituma nifanye, nikamleta Agagi mfalme wa Waamaleki na kuwaangamiza Waamaleki.+
24 Kwa maana Hamani+ mwana wa Hamedatha Mwagagi,+ adui ya Wayahudi wote, alikuwa amepanga njama ya kuwaangamiza Wayahudi,+ na alikuwa amepiga Puri,+ yaani, Kura, ili kuwatisha na kuwaangamiza.