Mambo ya Walawi 27:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Zaidi ya hayo, mtu yeyote aliyehukumiwa na kutengwa ili aangamizwe hawezi kukombolewa.+ Ni lazima auawe.+ 1 Samweli 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sasa, nenda uwashambulie Waamaleki+ na kuwaangamiza+ wao pamoja na vitu vyao vyote. Usiwaache hai;* unapaswa kuwaua,+ wanaume na wanawake, watoto wadogo na wale wanaonyonya, ng’ombe dume na kondoo, ngamia na pia punda.’”+
29 Zaidi ya hayo, mtu yeyote aliyehukumiwa na kutengwa ili aangamizwe hawezi kukombolewa.+ Ni lazima auawe.+
3 Sasa, nenda uwashambulie Waamaleki+ na kuwaangamiza+ wao pamoja na vitu vyao vyote. Usiwaache hai;* unapaswa kuwaua,+ wanaume na wanawake, watoto wadogo na wale wanaonyonya, ng’ombe dume na kondoo, ngamia na pia punda.’”+