17 Mikono yenu haipaswi kuchukua kitu chochote kinachopaswa kuharibiwa,*+ ili Yehova aache hasira yake kali na kuwaonyesha rehema na huruma na kuwafanya mwongezeke, kama alivyowaapia mababu zenu.+
18 Lakini mjiepushe na kitu chochote kinachopaswa kuharibiwa,+ ili msikitamani kitu kinachopaswa kuharibiwa na kukichukua,+ msije mkaleta msiba* kwenye kambi ya Waisraeli.+