9“Sikilizeni, enyi Waisraeli, leo mnavuka Yordani+ na kuingia kumiliki nchi yenye mataifa makubwa zaidi na yenye nguvu zaidi kuliko ninyi,+ majiji makubwa na yenye ngome zinazofika mbinguni,*+
3 Kwa hiyo, mnapaswa kujua leo kwamba Yehova Mungu wenu atawatangulia mnapovuka.+ Yeye ni moto unaoteketeza,+ atawaangamiza. Atawashinda mbele ya macho yenu ili mwafukuze* na kuwaangamiza haraka, kama Yehova alivyoahidi.+