Kumbukumbu la Torati 1:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Yehova Mungu wenu atawatangulia na kuwapigania,+ kama alivyofanya kule Misri mbele ya macho yenu wenyewe.+ Kumbukumbu la Torati 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwa maana Yehova Mungu wenu anapiga mwendo pamoja nanyi ili awapiganie dhidi ya maadui wenu na kuwaokoa ninyi.’+ Kumbukumbu la Torati 31:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova Mungu wenu ndiye anayevuka mbele yenu, naye mwenyewe atayaangamiza mataifa haya kutoka mbele yenu, nanyi mtayafukuza.+ Yoshua ndiye atakayewaongoza kuvuka,+ kama Yehova alivyosema.
30 Yehova Mungu wenu atawatangulia na kuwapigania,+ kama alivyofanya kule Misri mbele ya macho yenu wenyewe.+
4 kwa maana Yehova Mungu wenu anapiga mwendo pamoja nanyi ili awapiganie dhidi ya maadui wenu na kuwaokoa ninyi.’+
3 Yehova Mungu wenu ndiye anayevuka mbele yenu, naye mwenyewe atayaangamiza mataifa haya kutoka mbele yenu, nanyi mtayafukuza.+ Yoshua ndiye atakayewaongoza kuvuka,+ kama Yehova alivyosema.