Hesabu 27:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo Yehova akamwambia Musa: “Mchukue Yoshua mwana wa Nuni, mwanamume aliye na roho,* na uweke mikono yako juu yake.+ Kumbukumbu la Torati 3:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nawe umweke Yoshua+ kuwa kiongozi, umtie moyo na kumwimarisha, kwa sababu yeye ndiye atakayewaongoza watu hawa kuvuka+ na kuwawezesha kuirithi nchi utakayoiona.’ Yoshua 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Musa mtumishi wangu amekufa.+ Sasa jitayarishe, vuka Mto Yordani pamoja na watu hawa wote, mwingie katika nchi ambayo ninawapa Waisraeli.+
18 Kwa hiyo Yehova akamwambia Musa: “Mchukue Yoshua mwana wa Nuni, mwanamume aliye na roho,* na uweke mikono yako juu yake.+
28 Nawe umweke Yoshua+ kuwa kiongozi, umtie moyo na kumwimarisha, kwa sababu yeye ndiye atakayewaongoza watu hawa kuvuka+ na kuwawezesha kuirithi nchi utakayoiona.’
2 “Musa mtumishi wangu amekufa.+ Sasa jitayarishe, vuka Mto Yordani pamoja na watu hawa wote, mwingie katika nchi ambayo ninawapa Waisraeli.+