Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 27:18-20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo Yehova akamwambia Musa: “Mchukue Yoshua mwana wa Nuni, mwanamume aliye na roho,* na uweke mikono yako juu yake.+ 19 Kisha umsimamishe mbele ya kuhani Eleazari na mbele ya watu wote, nawe umweke kuwa kiongozi.+ 20 Utampa sehemu ya mamlaka* yako,+ ili Waisraeli wote wamsikilize.+

  • Kumbukumbu la Torati 1:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wako,*+ ndiye atakayeingia katika nchi hiyo.+ Mwimarishe,*+ kwa maana atawawezesha Waisraeli kuirithi nchi hiyo.”)

  • Kumbukumbu la Torati 31:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha Musa akamwita Yoshua na kumwambia hivi mbele ya Waisraeli wote: “Uwe jasiri na imara,+ kwa sababu ni wewe utakayewaingiza watu hawa katika nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zao kwamba atawapa, nawe utawapa iwe urithi wao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki