Mambo ya Walawi 27:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Zaidi ya hayo, mtu yeyote aliyehukumiwa na kutengwa ili aangamizwe hawezi kukombolewa.+ Ni lazima auawe.+ 1 Samweli 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Baadaye Yehova alikupa kazi na kukuambia, ‘Nenda, uwaangamize Waamaleki hao watenda dhambi.+ Pigana nao mpaka uwaangamize kabisa.’+
29 Zaidi ya hayo, mtu yeyote aliyehukumiwa na kutengwa ili aangamizwe hawezi kukombolewa.+ Ni lazima auawe.+
18 Baadaye Yehova alikupa kazi na kukuambia, ‘Nenda, uwaangamize Waamaleki hao watenda dhambi.+ Pigana nao mpaka uwaangamize kabisa.’+