19 Na itatukia kwamba wakati ambapo Yehova Mungu wako atakuwa amekupumzisha kutokana na adui zako wanaokuzunguka pande zote katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe urithi ili uimiliki,+ utafutilia mbali jina la Amaleki kutoka chini ya mbingu.+ Hupaswi kusahau.
24 Kwa maana Hamani+ mwana wa Hamedatha+ Mwagagi,+ yule aliyewaonyesha Wayahudi wote uadui,+ alikuwa amepanga hila juu ya Wayahudi ili kuwaangamiza,+ naye alikuwa amefanya Puri,+ yaani, Kura,+ ipigwe, ili kuwahangaisha na kuwaangamiza.