Kutoka 17:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 na kusema: “Kwa sababu kuna mkono dhidi ya kiti cha ufalme+ cha Yah,+ Yehova atakuwa na vita na Amaleki kizazi baada ya kizazi.”+ Hesabu 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Maji yanatiririka kutoka katika ndoo zake mbili za ngozi,Na mbegu yake iko kando ya maji mengi.+Mfalme+ wake pia atakuwa juu kuliko Agagi,+Na ufalme wake utainuliwa juu.+ 1 Samweli 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye akamkamata Agagi+ mfalme wa Amaleki akiwa hai, na watu wengine wote akawaangamiza kwa makali ya upanga.+
16 na kusema: “Kwa sababu kuna mkono dhidi ya kiti cha ufalme+ cha Yah,+ Yehova atakuwa na vita na Amaleki kizazi baada ya kizazi.”+
7 Maji yanatiririka kutoka katika ndoo zake mbili za ngozi,Na mbegu yake iko kando ya maji mengi.+Mfalme+ wake pia atakuwa juu kuliko Agagi,+Na ufalme wake utainuliwa juu.+
8 Naye akamkamata Agagi+ mfalme wa Amaleki akiwa hai, na watu wengine wote akawaangamiza kwa makali ya upanga.+