20 Hata hivyo, Sauli akamwambia Samweli: “Lakini mimi nimeitii+ sauti ya Yehova kwa kuwa nilienda kufanya kazi ambayo Yehova alikuwa amenituma, nami nikamleta Agagi+ mfalme wa Amaleki, lakini Amaleki nimemwangamiza.+
3Baada ya mambo hayo Mfalme Ahasuero alimtukuza Hamani+ mwana wa Hamedatha Mwagagi,+ akamwinua+ na kukiweka kiti chake juu ya wakuu wengine wote waliokuwa pamoja naye.+
24 Kwa maana Hamani+ mwana wa Hamedatha+ Mwagagi,+ yule aliyewaonyesha Wayahudi wote uadui,+ alikuwa amepanga hila juu ya Wayahudi ili kuwaangamiza,+ naye alikuwa amefanya Puri,+ yaani, Kura,+ ipigwe, ili kuwahangaisha na kuwaangamiza.