10 Kwa hiyo mfalme akavua pete yake ya muhuri+ kutoka mkononi mwake na kumpa Hamani+ mwana wa Hamedatha Mwagagi,+ yule mwenye kuwaonyesha Wayahudi uadui.+
7 Basi Mfalme Ahasuero akamwambia Malkia Esta na Mordekai Myahudi: “Tazama! Nimempa Esta+ nyumba ya Hamani, naye wamemtundika mtini,+ kwa sababu alinyoosha mkono wake juu ya Wayahudi.
24 Kwa maana Hamani+ mwana wa Hamedatha+ Mwagagi,+ yule aliyewaonyesha Wayahudi wote uadui,+ alikuwa amepanga hila juu ya Wayahudi ili kuwaangamiza,+ naye alikuwa amefanya Puri,+ yaani, Kura,+ ipigwe, ili kuwahangaisha na kuwaangamiza.