Hesabu 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Maji yanatiririka kutoka katika ndoo zake mbili za ngozi,Na mbegu yake iko kando ya maji mengi.+Mfalme+ wake pia atakuwa juu kuliko Agagi,+Na ufalme wake utainuliwa juu.+ 1 Samweli 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye akamkamata Agagi+ mfalme wa Amaleki akiwa hai, na watu wengine wote akawaangamiza kwa makali ya upanga.+
7 Maji yanatiririka kutoka katika ndoo zake mbili za ngozi,Na mbegu yake iko kando ya maji mengi.+Mfalme+ wake pia atakuwa juu kuliko Agagi,+Na ufalme wake utainuliwa juu.+
8 Naye akamkamata Agagi+ mfalme wa Amaleki akiwa hai, na watu wengine wote akawaangamiza kwa makali ya upanga.+