Esta 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Esta akasema: “Mtu huyo, mpinzani+ na adui,+ ni huyu Hamani mtu mbaya.” Basi Hamani akaogopa sana+ kwa sababu ya mfalme na malkia. Esta 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana Hamani+ mwana wa Hamedatha+ Mwagagi,+ yule aliyewaonyesha Wayahudi wote uadui,+ alikuwa amepanga hila juu ya Wayahudi ili kuwaangamiza,+ naye alikuwa amefanya Puri,+ yaani, Kura,+ ipigwe, ili kuwahangaisha na kuwaangamiza.
6 Ndipo Esta akasema: “Mtu huyo, mpinzani+ na adui,+ ni huyu Hamani mtu mbaya.” Basi Hamani akaogopa sana+ kwa sababu ya mfalme na malkia.
24 Kwa maana Hamani+ mwana wa Hamedatha+ Mwagagi,+ yule aliyewaonyesha Wayahudi wote uadui,+ alikuwa amepanga hila juu ya Wayahudi ili kuwaangamiza,+ naye alikuwa amefanya Puri,+ yaani, Kura,+ ipigwe, ili kuwahangaisha na kuwaangamiza.