Esta 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Siku hiyo Mfalme Ahasuero alimpa Esta, malkia, nyumba ya Hamani,+ ambaye aliwaonyesha Wayahudi uadui;+ naye Mordekai akaingia mbele ya mfalme, kwa maana Esta alikuwa amesema yeye ni nani kwake.+ Methali 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+
8 Siku hiyo Mfalme Ahasuero alimpa Esta, malkia, nyumba ya Hamani,+ ambaye aliwaonyesha Wayahudi uadui;+ naye Mordekai akaingia mbele ya mfalme, kwa maana Esta alikuwa amesema yeye ni nani kwake.+
22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+