Methali 21:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mtu mwovu ameufanya uso wake kuwa mgumu,+ lakini mtu mnyoofu ndiye atakayefanya njia zake imara.+ Methali 28:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mwenye furaha ni mtu anayehofu sikuzote,+ lakini yeye anayeufanya moyo wake kuwa mgumu ataanguka katika msiba.+
14 Mwenye furaha ni mtu anayehofu sikuzote,+ lakini yeye anayeufanya moyo wake kuwa mgumu ataanguka katika msiba.+