Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hata hivyo, makuhani wa Misri wenye kufanya uchawi wakafanya jambo hilo hilo kwa ufundi wao wa siri;+ hivi kwamba moyo wa Farao ukaendelea kuwa mkaidi,+ naye hakuwasikiliza, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.+

  • Nehemia 9:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ingawa ulikuwa ukitoa ushahidi+ juu yao ili kuwarudisha kwenye sheria yako,+ wao walitenda kwa kimbelembele+ wala hawakusikiliza amri zako; nao wakayatendea dhambi+ maamuzi yako ya hukumu,+ ambayo, mtu akiyafanya, ataishi pia kwa hayo.+ Nao wakazidi kutokeza bega+ la ukaidi, wakaifanya shingo yao kuwa ngumu,+ wala hawakusikiliza.+

  • Ayubu 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yeye ni mwenye hekima moyoni na mwenye nguvu katika uwezo.+

      Ni nani anayeweza kumwonyesha ukaidi naye atoke bila madhara?+

  • Methali 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mtu anayekaripiwa+ tena na tena lakini anayeifanya shingo yake kuwa ngumu+ atavunjika ghafula, na hivyo pasipo kuponywa.+

  • Isaya 30:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “Ole wao wana wakaidi,”+ asema Yehova, “wale walio na mwelekeo wa kutekeleza shauri, lakini si la kutoka kwangu;+ na kumimina toleo la kinywaji, lakini si kwa roho yangu, ili kuongeza dhambi juu ya dhambi;+

  • Yeremia 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na ninyi katika matendo yenu mmetenda vibaya zaidi kuliko baba zenu,+ na, tazama, kila mmoja wenu anaufuata ukaidi+ wa moyo wake mbaya kwa kutonitii mimi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki