Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 11:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na Musa na Haruni wakafanya miujiza yote hiyo mbele ya Farao;+ lakini Yehova alikuwa akiuacha moyo wa Farao uwe mkaidi, hivi kwamba hakuwaruhusu wana wa Israeli waende zao kutoka katika nchi yake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akamwasi hata Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa Mungu;+ naye akaendelea kuifanya shingo yake kuwa ngumu+ na kuufanya moyo wake kuwa mgumu+ ili asirudi kwa Yehova Mungu wa Israeli.

  • Zaburi 75:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Msiinue pembe yenu juu.

      Msiseme mkiwa na shingo yenye kiburi.+

  • Yeremia 17:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 lakini hawakusikiliza wala kutega sikio lao,+ nao wakafanya shingo+ yao kuwa ngumu ili wasisikie na ili wasipokee nidhamu.”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki