Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nimewatazama watu hawa na, kumbe, ni watu wenye shingo ngumu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 30:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Sasa msifanye shingo+ zenu kuwa ngumu kama walivyofanya mababu zenu. Mpeni Yehova nafasi+ na mje katika patakatifu pake+ ambapo amepatakasa+ mpaka wakati usio na kipimo na kumtumikia+ Yehova Mungu wenu, ili hasira yake inayowaka+ iondoke kwenu.

  • Methali 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mtu anayekaripiwa+ tena na tena lakini anayeifanya shingo yake kuwa ngumu+ atavunjika ghafula, na hivyo pasipo kuponywa.+

  • Matendo 7:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+

  • Yuda 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Watu hawa ni wanung’unikaji,+ walalamikaji juu ya fungu lao maishani, wakiendelea kulingana na tamaa zao wenyewe,+ na vinywa vyao husema mambo ya kujigamba,+ huku wakisifu kwa kustaajabia watu mashuhuri+ kwa ajili ya faida yao wenyewe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki