8 Sasa msifanye shingo+ zenu kuwa ngumu kama walivyofanya mababu zenu. Mpeni Yehova nafasi+ na mje katika patakatifu pake+ ambapo amepatakasa+ mpaka wakati usio na kipimo na kumtumikia+ Yehova Mungu wenu, ili hasira yake inayowaka+ iondoke kwenu.
51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+
16 Watu hawa ni wanung’unikaji,+ walalamikaji juu ya fungu lao maishani, wakiendelea kulingana na tamaa zao wenyewe,+ na vinywa vyao husema mambo ya kujigamba,+ huku wakisifu kwa kustaajabia watu mashuhuri+ kwa ajili ya faida yao wenyewe.