Mambo ya Walawi 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “‘Msifanye ukosefu wa haki katika hukumu. Usiwatendee watu wa hali ya chini kwa njia ya ubaguzi,+ wala usimpendelee mtu mkuu.+ Utamhukumu mwenzako kwa haki. Methali 28:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Si vema kuonyesha upendeleo,+ wala si vema kwa mwanamume kufanya kosa kwa sababu ya kipande tu cha mkate. Yakobo 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini mkiendelea kuonyesha upendeleo,+ mnafanya dhambi, kwa maana sheria+ inawakaripia ninyi kuwa ni wakosaji.
15 “‘Msifanye ukosefu wa haki katika hukumu. Usiwatendee watu wa hali ya chini kwa njia ya ubaguzi,+ wala usimpendelee mtu mkuu.+ Utamhukumu mwenzako kwa haki.
21 Si vema kuonyesha upendeleo,+ wala si vema kwa mwanamume kufanya kosa kwa sababu ya kipande tu cha mkate.
9 Lakini mkiendelea kuonyesha upendeleo,+ mnafanya dhambi, kwa maana sheria+ inawakaripia ninyi kuwa ni wakosaji.