Mambo ya Walawi 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “‘Msifanye ukosefu wa haki katika hukumu. Usiwatendee watu wa hali ya chini kwa njia ya ubaguzi,+ wala usimpendelee mtu mkuu.+ Utamhukumu mwenzako kwa haki. Kumbukumbu la Torati 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Usipotoshe hukumu.+ Usipendelee+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotoa maneno ya waadilifu. Methali 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Si vema kumwonyesha mwovu upendeleo,+ wala kumpotosha mwadilifu katika hukumu.+ Yakobo 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndugu zangu, je, mnashika imani ya Bwana wetu Yesu Kristo, utukufu wetu,+ kwa matendo ya kupendelea?+
15 “‘Msifanye ukosefu wa haki katika hukumu. Usiwatendee watu wa hali ya chini kwa njia ya ubaguzi,+ wala usimpendelee mtu mkuu.+ Utamhukumu mwenzako kwa haki.
19 Usipotoshe hukumu.+ Usipendelee+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotoa maneno ya waadilifu.
2 Ndugu zangu, je, mnashika imani ya Bwana wetu Yesu Kristo, utukufu wetu,+ kwa matendo ya kupendelea?+