Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “‘Msifanye ukosefu wa haki katika hukumu. Usiwatendee watu wa hali ya chini kwa njia ya ubaguzi,+ wala usimpendelee mtu mkuu.+ Utamhukumu mwenzako kwa haki.

  • Kumbukumbu la Torati 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Usipotoshe hukumu.+ Usipendelee+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotoa maneno ya waadilifu.

  • Methali 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Si vema kumwonyesha mwovu upendeleo,+ wala kumpotosha mwadilifu katika hukumu.+

  • Yakobo 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndugu zangu, je, mnashika imani ya Bwana wetu Yesu Kristo, utukufu wetu,+ kwa matendo ya kupendelea?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki